Home > Terms > Swahili (SW) > imani

imani

Ni kipawa cha Mungu na kitendi cha binadamu ambacho muumini hutoa uzingatiaji binafsi kwa Mungu ambaye anakaribisha majibu yake, na kwa uhuru anakubali ukweli wote ambao Mungu umebaini. Ni ufunuo huu wa Mungu ambao Kanisa inapendekeza kwa imani yetu, na ambao sisi hukiri katika Imani, husherehekea katika sakramenti, huishi kwa mwenendo ilio sawa unsotimiza amri mara mbili ya upendo (kama ilivyo katika amri kumi), na kujibu na katika maombi yetu ya imani. Imani ni mujibu wa kitheolojia uliotolewa na Mungu kama neema, na wajibu ambao unatokana na amri ya kwanza ya Mungu (26, 142, 150, 1814, 2087).

0
Adăugare la Glosarul Meu

Ce doriţi să spuneţi?

Trebuie să vă conectaţi pentru a publica în discuţii.

Termeni la ştiri

Termeni dezvoltaţi

DEBORA KAYEMBE
  • 0

    Terms

  • 0

    Glosare

  • 7

    Followers

Industrie/Domeniu: Guvern Categorie: Controlul armelor

udhibiti wa uhalifu

Mbinu zilizotumika kupunguza au kuzuia uhalifu katika jamii kwa kudhibiti vitendo au vitendo uwezekano wa wahalifu. Hizi ni pamoja na kutumia adhabu ...

Colaborator

Glosare dezvoltate

My favorite Hollywood actresses

Categorie: Divertisment   1 5 Terms

Flat Bread

Categorie: Food   1 8 Terms