Home > Terms > Swahili (SW) > Marekebisho ya Vita vya wenyewe kwa wenyewe

Marekebisho ya Vita vya wenyewe kwa wenyewe

Marekebisho ya katiba yaliyopitishwa baada ya vita vya wenyewe kwa wenyewe ili kuwaachilia huru Waafrika Wamarekani waliokuwa chini ya utumwa, kuwapa uraia na kuwahakikishia haki zao kama wananchi. Badiliko la kumi na tatu lilipitishwa mwaka 1865; badiliko la kumi na nne lilifanyika mwaka wa 1868; na badiliko la kumi na tano lilifanyika mwaka 1870.

0
Adăugare la Glosarul Meu

Ce doriţi să spuneţi?

Trebuie să vă conectaţi pentru a publica în discuţii.

Termeni la ştiri

Termeni dezvoltaţi

Ann Njagi
  • 0

    Terms

  • 0

    Glosare

  • 12

    Followers

Industrie/Domeniu: Internet Categorie: Medii sociale

Mjomba Cat

cat cuddly kwa jina la Hatch-chan kwamba akawa kimataifa maarufu na blog yake mwenyewe na smiles kipekee. kupotea akageuka Mashuhuri paka alikuwa na ...